KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 31 January 2012

* YOU BEEN SNAP BLOG * DIAMOND AJIKUTA AKISEMA UKWELI BAADA YA KUCHOKA KUMVUMILIA WEMA KWA UTO*BI TO*BI WAKE" HII SASA NI KALI YAKATA KAMA MSIMENO: NIMEMFUMANIA WEMA MPAKA NIMECHOKA"

                                                   
*MKILETEWA  HAPA NA MISS FB*


Diamond.
Wema.
Na Shakoor JongoNaseeb Abdul Jumaa ‘Diamond’ amefyatuka mambo makubwa juu ya uhusiano wake wa kimapenzi na Wema Isaac Sepetu, Ijumaa Wikienda linakupa kitu kamili.
Akizungumza katika mahojiano maalum ndani ya ofisi ya gazeti hili, Mwenge-Bamaga, Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, Diamond alisema kwa muda mrefu amekuwa mkimya akikwepa kuzungumzia uhusiano wake na Wema, lakini sasa ni zamu yake.
‘Kichaa’ huyo wa Bongo Fleva alisema kuwa, katika kipindi cha takribani mwaka mmoja alichodumu kwenye ‘malavu’ na Wema, amejifunza na kushuhudia matukio ya kutisha ya usaliti katika mapenzi yanayomhusu Miss Tanzania huyo wa 2006, mengi yakiwa ni mafumanizi yasiyohesabika.
“Unajua mwanzoni sikupenda kuweka hadharani mambo ya aibu ya Wema kwa sababu nilishatahadharishwa nikajifanya kichwa ngumu nikiamini angebadilika.

MAFUMANIZI KIBAO“Nikianza na suala la kumfumania kila kukicha akisaliti penzi letu kwa wanaume wengine, nilishamfumania Wema mpaka nikachoka.
“Listi ya wanaume wa Wema ni ndefu, lakini fumanizi kiboko ni lile nililomkuta kitandani kama alivyozaliwa akifanya …(kitu kibaya) na rafiki yangu…(staa wa filamu za Kibongo),” alisema Diamond ambapo mahojiano yaliendelea hivi;
Ijumaa Wikienda: Baada ya kumfumania ulichukua hatua gani?
Diamond: Nilimvuta pembeni nikampa kisago, aliniomba msamaha yakaisha, lakini bado aliendelea na mabwana zake.
Ijumaa Wikenda: Unapomzungumzia Wema unaonekana una hasira, mbali na kumfumania amekufanyia nini kingine?
Diamond: Kinachoniuma ni kitendo cha kunitangaza kuwa ameniacha wakati mimi ndiyo nimemuacha.
Ijumaa Wikienda: Ina maana mmeachana jumla?
Diamond: Usiseme mmeachana, sema umemuacha jumla? Kusema kweli mimi na Wema yamekwisha, simtaki na wala hakuna tena mapenzi.

YUKO TAYARI KURUDIANA NA WEMA?Ijumaa Wikienda: Je, Wema akikuomba mrudiane uko tayari?
Diamond: Siyo kwamba akiniomba, ameshakuja nyumbani na watu kibao kuniomba msamaha na akalala kwangu, nilimwambia awaombe radhi mashabiki wangu kwa kunichafua ‘then’ sitakuwa na kinyongo moyoni mwangu, nitamsamehe kama binadamu lakini sijui kama tutashirikiana tena mambo ya chumbani.
Ijumaa Wikienda: Kwani alipokuja kwako kukuomba msamaha akalala, hamkushiriki mambo ya chumbani?
Diamond: Acha tu, nisingependa kuzungumzia kilichotokea usiku ule, lakini kulipokucha tu, alikuja kuchukuliwa akaondoka zake.
PETE YA UCHUMBAIjumaa Wikienda: Umesema uhusiano wenu wa kimapenzi umefika kikomo, vipi kuhusu hatma ya pete ya uchumba ya shilingi milioni 3.6 uliyomvisha pale New Maisha Club Masaki, Dar mwaka jana kwani kuna taarifa kuwa ameshaivua?
Diamond: Sihitaji hiyo pete na sitamuuliza, kama mapenzi yamekwisha ataendelea kuvaa ya nini? Acha avue itamsaidia kupunguza ‘stress’.

FUMANIZI NA JOKATEIjumaa Wikienda: Je, ni kweli kwamba alikufumania na Jokate (Mwegelo)?
Diamond: Namheshimu sana Jokate, sijui ningeanzia wapi kumtongoza. Aisee, asikwambie mtu, Wema alimchafua mtoto wa watu bila sababu yoyote na wivu wake wa kimapenzi. Hakuna kitu Jokate anachojuta kama kukubali kufanya video yangu kwani tukio moja tu, lilimharibia vibaya ‘future’ yake.

TUZO ZA MUZIKI MWAKA JANAKatika hatua nyingine, Diamond alidai kuwa Wema ndiye aliyesababisha akakosa tuzo za muziki za Kili mwaka jana kufuatia skendo zilizokuwa zikimwandama hivyo mashabiki na wadau kumpotezea.
Alisema: “Wema alidai yeye ndiyo aliyenipaisha, lakini ukweli ni kwamba Wema alinitongoza kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook baada ya kupata tuzo tatu za Kili mwaka juzi ‘so’ si kweli kwamba yeye ndiyo kanibeba, alinikuta nikiwa juu vibaya mno.”
Ijumaa Wikienda lilimtafuta Wema kwa njia ya simu ili kusikia kauli yake juu ya salata hili bila mafanikio.

KUTOKA IJUMAA WIKIENDATunafanya jitihada za kuwakutanisha Diamond na Wema laivu ili kumaliza mzozo uliopo kati yao hivyo usikose kufuatilia magazeti ya Global Publishers yanayofuata.

No comments:

Post a Comment