KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 28 February 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG* GOOD NEWS KWA WADAU WA BLOG HII & MISS FB FLORA BAHATI LYIMO FRIENDS!! PLEASE PUT THIS TO YOUR DIARY" 28/APRIL /2012 " YOUR ALL INVITED!!

             BIRTHDAY'S INVITATION ON SATURDAY 28/APRIL/2012"
Salam!!
Just to let you know my dears mwaka huu 2012 is
*YOU BEEN SNAP BLOG* Birthday 1 YEARS OLD"
And MISS FB Flora Bahati Lyimo forever 21 Birthday. Kwa kweli ningefurahi sana nyote kufika ili kuparty hard na Miss FB ,kwani bila nyie nisingelikuwa nafanya na kuelewa yote nayoyafanya leo kwenye hii blogu yangu na vile vile kiundani mwangu na hata nje" yah" Kwa hiyo party hii inakuja hivi"

VIP NDANI YA BOX .£40 FOR LADIES
Hii ni kwa wale wangependa kuvaa kama the STAR ..MISS FB FASHION POLICE mwenyewe"
Dress - kuna nguo za rangi tatu" unachagua moja" Goody bag, Drink na vyakula with no limit"
Kwa wale ambao sijawapigieni sim ,sim bado napiga na nguo zimebakia 8 tu" so wahi kabla hizo hazijaisha" asanteni sana"

VIP NDANI YA BOX £25 FOR BOYS
Hii ni kwa wale wangependa kuepuka MISS FB FASHION POLICE. but please no Hoods or Sportswear"
T-shirt- kuna T-shirt rangi tatu " unachagua moja" Goody bag,Drinks na vyakula with no limit"

Vinginevyo nyote mnaalikwa na hakikisha Miss FB anajina lako " la sivyo unaweza ukajikuta ukila baridi huko nje" The place is so limited on this day " so please hakikisha umenijulisha" This year our Birthday party promises to be the one to remember !! The party will be held in the stunning surroundings of the Dalston Lane London " I look forword to seeing you on the evening"
For more Information .Tell: 0778747 1024 ,Lyca 07405584555.
Email flo1974@btinternet.com

16 comments:

  1. safi count me in ll be there 100% by God grace tuombe uzima
    loisa -sheila

    ReplyDelete
    Replies
    1. Haya dada fb wamekuamkia huko u turn kasome comment wanajidai we umewasema yaani hebu kaangalie dear maugonvi yao na JG wakutuingizia fashion polisi wetu mbona hawakuwezi hata kidogo mbulaaa

      Delete
  2. HAPPY BIRTHDAY YOU BEEN SNAP BLOG "
    i cant wait to party hard with you miss fb fashion police!!

    ReplyDelete
  3. count me in for sure ,ila sasa hizo nguo tutazipataje ili tuzijalibu kwanza, maana mimi size yangu ni m, lakini inatengemea na designer ...but yah good idea i like it ,,,

    ReplyDelete
  4. Miss FB flora bahati lyimo mimi penda wewe sana, and the work of your hands ,ubarikiwi sana dear, alafu nasikia umefungua na salon will visit soon,na viatu uniwekee pls..maana yote tunayasikia mitaani!!

    ReplyDelete
  5. Mtanzania of 8:06 ,,ASANTE SANA NA KARIBU SANA DEAR ,USIJALI VIATU VIPO VINGI TU NAMABEGI PIA, vile vile nashukuru hizo redio mbao kwa kuwarushieni matangazo yangu!!

    ReplyDelete
  6. mbulaaa, na pole kwa yalokupa!! anonymous of 3.46 am.. waache waseme wapendavyo MISS FB FASHION POLICE IPO KUWAPA UKWELI WAO..NA KAMA WAO WATU NA WATANZANIA WAUKWEE..WAFYONZE NIWASIKIE.....KAMA ULIVYOSEMA ,HAWANIWEZI IS TRUE 100% HAWANIWE ZIKABISAAA!!!

    ReplyDelete
  7. Hi miss fb nilikuwa napita huku ,yani i love your blog and i will be there to party hard with you maana mambo yako si mchezo nije kula ma mashalari.

    ReplyDelete
  8. kwanza huna lolote na huyo peter ngatika unayetoka nae kisiri siri jua fifi anajua na amesema atakuroga mpaka ukome baba watoto wake,,,mbona usitafute wanaume waso na wake zao miss fb sisi tukikutaka hututaki sijui ndo hatujui kutomba au ? tupe nafasi bwana, achana na huyo peter mtafuta makaratasi, mtoto wa kichagga utarogwa bure..huyo fifi hakuna asomjua kwa mauchawi uliza watu wa Dar.

    ReplyDelete
  9. Cant wait ,i miss last year this one no miss kabisaa, alafu miss fb nasikia kuna sare mimi nataka ya blue please niwekee im size smal.will cal you kesho .

    ReplyDelete
  10. Miss fb watoto wanaruhusiwa maana mwenzio sina wakuniangalilia wanangu,na ningependa kuja" si unajua tena ulaya hii ukiwa na watoto "

    ReplyDelete
  11. Anonymous of 05;32 am. POLE SANA MY DEAR..WATOTO HAWARUHUSIWI KABISA..ones again poleeeee!!!

    ReplyDelete
  12. mie ntakuwepo 100% please count on me sis

    ReplyDelete
  13. Sheila my Girl I CANT WAIT ..YANI FULL KUJIOGESHA KWA MBEGE NA KUJIKAUSHA KWA CHAPATI///hahhaaaaa....mbuta nanga!! love you lots mae..xoxo

    ReplyDelete
  14. Wooo,i just got my yellow dress cant wait ..love you dada flora !!

    ReplyDelete
  15. HAPPY 1st BIRTHDAY YOU BEEN SNAP BLOG< you are the best blog in the world!! and i love everything you ,hasa miss fb fashion police,, umewakomesha wabongo sasa tunaona wamejirekebisha wanavaa vizuri hata kwenye birthday zao....big up my girl.

    ReplyDelete