KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 27 November 2012

*HARAMBEE KWA AJILI YA KUSAIDIA SHUGHULI ZA KUWASAFIRISHA NA MAZIKO YA WATANZANIA WENZETU WALOAGA DUNIA MWEZI HUU HAPA UK "

Marehem Mariagoreth  Ndagio" R.I.P."



Marehem Fred Mtoi" R.I.P"
Kwa Watanzania Wote UK
Watanzania waishio UK mnaombwa kushirikiana kwa kuhudhuria hafla fupi ya kujitolea (harambee) kwa ajili ya kusaidia shughuli za usafirishaji na maziko ya watanzania wenzetu (Fredrick Mtoi na Mariagoreth Ndagio) vilivyotokea London na Luton.
 
Muda: Saa 11 jioni.
Siku: Alhamisi, 29 Nov.
Mahali: Tanzania High C  omission UK
3 Stratford Place Marylebone
WC1  1AS. London
 
Ushirikiano wako ndiyo mafanikio ya shughuli hii muhimu. Kama hutaweza kuhudhuria tafadhali tuma mchango wako kwenye account ya Jumuiya:
TA (Tanzania Association)
HSBC
Sort Code: 40 05 26
A/C:  41 22 96 72
 
Jumla ya mchango utakaopatikana utagawanywa sawa kwa wahusika wa pande zote mbili. Iwapo ungependa mchango wako uelekezwe kwenye familia mojawapo tu, tafadhali bainisha kwa kuambatanisha ujumbe (simple note).
Asanteni kwa ushirikiano wenu
 
Tanzania National Associations (TANZ) UK

No comments:

Post a Comment