KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 27 February 2013

TANZANIA LEO TAREHE 27/02/2013 RAIS KIKWETE ALIPOTEMBELEA MAKAO MAKUU YA JKT JESHI LA KUJENGA TAIFA DAR ES SALAM !!

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia makamanda wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) alipotembelea makao yao makuu leo huku Rais akionekana na furaha kubwa yani kicheko chake kinasema yote" Job well Done"

Zawadi ya Nguvu kwa Rais anayefanya kweli kuhakikisha Nchi ya Tanzania haiyumbishwi kwa Upepo  wenye harufu chafu kutaka kuichafua Nchi ya Amani ambayo inatakiwa kusonga mbele ikihakikisha matunda yake ya CCM hayasinyai kamwe" Flora Bahati Lyimo >say. Nakukubali Rais na jua sie huku Majuu tupo kuiga mazuri wanayoyafanya Wazungu wa Ukweli Waingereza" na Kuja Nyumbani kwetu Tanzania kuendelea Kuyapalilia Matunda yetu ya CCM kwa namana zifaazo na zenye sifa nzuri ambazo tumeziiga huku Majuu" Nami nakuhakikishia hilo Rais " "UMOJA "which nikiutandaza unasimama hivi" U>Ubunifu, M>Maendeleo,O>Ongoza,J>Jamii na A>Amani" 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea zawadi ya saa yenye Picha kubwa ya Rais mwenyewe"toka kwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Raphael Muhuga huku Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Vuai Shamsi Nahodha, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange wakishuhudia. Saa hiyo imeandaliwa na makamanda wa JKT kumpongeza Rais Kikwete kwa kurejesha mafunzo ya jeshi la ulinzi kwa mujibu wa sheria kuanzia mwaka huu.
 Rais Kikwete akihutubia Makamanda wa JKT Mjini Dar Es Salamu leo kwenye makao yao makuu"
 Wakiwa kwenye Picha ya Pamoja na Rais Kikwete,yani Rais utamjua tu,mwaangalie Mikono yake alivyokaa hapo kiti cha kati na chekundu.safi sana hakikisha Matunda yako ya CCM yametulia Rais hakiibiwi kitu hapo'Mbuta Nanga"
Tanzania ,Tanzaniaa,nakupenda kwa Moyo wote..Nchi yangu Tanzania .......!!God Bless Tanzania and the World Amen" Ruwa Mangi Luikanyie Shiwanashapfo Mbee Kanyi!!

1 comment:

  1. Hi, I read your new stuff daily. Your story-telling style is awesome, keep doing what you're doing!

    My webpage; franchise opportunities

    ReplyDelete