KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 30 April 2013

'THE GORGEOUS PEOPLE NDANI YA HOUSE OF FLORA (ALBUM 4) MISOSI ZAIDI' AND YES IT WAS THE TALK OF 'NDANI YA DIAMOND SHOW IN LONDON 27'4'2013" FLORA LYIMO ANATINGISHAJE UK -LONDON 'MBUTA NANGA!!

THANK YOU MUNGU WANGU FOR HII SIKU YA LEO JAMANI NAFURAHA SANA KUWA NANYI AND  I CANT WAIT KUIKATA CAKE HII NA KUWALISHENI KILA MTU APATE KAKIPANDE CHAKE CHA UPENDO'


 Dolla Songambele a.k.a. Mpora wa Fendi akijilia Machalari yake taratibuu"wapi JD 'mbuta nanga!!
 Wapenzi wangu wa Ukwee ,my Damdam Friend Rhoda imekuwaje mwamchangaa nani kule 'mbuta nanga!!

 IN LOVE WITH MY CAKE,I LOVE IT SO MUCH " HOUSE OF FLORA'MBUTA NANGA!!
 NILIPULIZA HADI PUMZI KUNIBAKIA KOTA" MBUTA NANGA.KITU HAKIZIMIKI''WAPI AFRICAN KING" UWIII ANACHEKAJE HAPA' KITU HAPANA ZIMIKAAA..HELLPP"




 I LOVE HII CHAMPAGNE IS THE BEST ONE KWA WALE WANYWAJI WA CHAMPAGNE JARIBUNI HII'MTAJA NIAMBIA"

UGONJWA WA FLORA LYIMO 'YANI I LOVE IT 'HII NI ILE KITU ROHO YANU INAPENDAA!!

 MAMBO NI KUSOMA NAMBA TU" YANI SI MCHEZO MBEGE ZA AINA YOTE NILICHANGANYAA" KILA MTU ANAKUNYWA APENDACHO KWA KUJICHAGULIA MWENYEWE"


 MAPISHI YA FLORA LYIMO YALIKUWA HIVI 'KUANDAA SAMAKI 'FRESH OF THE DAY"

 HAPA NIMEMUWEKA VIUNGO VYAKE NA KUSUBIRIA MKAANGO"
 MAFUTA BORA YA KUPIKIA,FLORA FOR SURE ,NAJIPENDA NA NAPENDWAJE SASA"
 PARACHICHI LILIHUSIKA PIA,YANI FULL FRESH HOME FOOD"UTAZANI NIPO UCHAGGANI KULE MOSHI"


 PILAU KWA MAPISHI YA FLORA LYIMO ,YANI NAVYOPENDA KUPIKA NA KILA KAZI ZOTE ZA HOME NI BALAA...HAPA NDO UNAJIPIKA TARATIBUU'



 MORE PARACHICHI YANI UKILIONA LAZIMA ULITAMANI"

 SAMAKI WALIKAANGIKAJE"
 SALADI IKIANDALIWA NA FLORA LYIMO'

 FLORA LYIMO FASHION POLICE NA HOUSE OF FLORA BIRTHDAY CAKE" MBUTA NANGA" ULISHAWAHI KUONA HII"
 UTAZANI WACHAGGA WAMEKUTANA EEE..HAHHAAA ,MLINICHEKESHAJE WAPENZI WANGU 'MIE LOVE NYIE SANAA!! HOPE YOU DID ENJOY THE MACHALARI MY MPORA WA FENDI"

 BUSUUUUUUUU..THANKS EVER SO MUCH FOR KILA KITU MY SHOSTITAMU NUSRAT MIE LOVE WEWE MNOO!!




 WAREMBO WAKILA WAKIWA WAMETULIA' WAS NICE TO MET NYIE WAREMBO WANGU ,MUCH LOVE,ONE DAY I WANT TO MET ALL MY FACEBOOK FRIENDS 'AND PARTY HARD 24/7 MBUTA NANGA ! 
 MACHALARI KWA MAPISHI YA FLORA LYIMO MCHAGGA -LONDON KAMA KAWA YAKE'
 KILA MTU NA CHUPA YAKE NA UKIONDOKA PIA UNAONDOKA NA CHUPA YA MBEGE YAKO UIPENDAYO .MBUTA NANGA!


















WELCOME TO HOUSE OF FLORA" MBUTA NANGA!!

7 comments:

  1. flora Lyimo mambo yako siyo madogo,yani unatishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..

    ReplyDelete
  2. Flora Lyimo nyumba yako nzuri sana huishi kiuchafu chafu kama wabongo wengi huko uk ,yani mwanamke usafi na mapishi..I love you and your Blog ipo juuu' endelea kutuwakilisha mamii naona kwa dirisha full Tanzania flag''mbuta nanga' i want to buy one ,how much hizo kofia?

    ReplyDelete
  3. flora lyimo wewe kweli kiboko yani huko uk kuna mafuta yakupikia yenye hadi jina lako,ndo maana wanakuchukia ni wivu mamii hasawakienda madukani na kuyaona ,mbuta nanga ,upo juuu kuliko obama 'mimi penda sana mabo yako hasa hii blog yako inanifurahishaga chichaaaa'

    ReplyDelete
  4. ila waambie wenzio wakusaidia kupaka makeeup..naona wao wako vizuri hiyo secta......omba msaada

    ReplyDelete
  5. Flora, hongera kwa party yako inaonekana ilipendeza sana mpaka na wewe mwenyewe. lakini naomba kukuuliza kwanini ulitoa picha ya yule dada aliyevaa mastocking ya orange? mie napenda unavyofanya kazi yako bwana, lazima uwarekebishe wanawake wa kibongo wanavyovaa, wanatia aibu,ungeiacha iwe mfano kwa wanawake wengine. mijistocking ka mtoto wa shule. ungeiacha ile picha ili tumfundishe jinsi ya kuvaa. Basi ana lidoko lake huku milton keynes linaitwa Hanifa nalo shamba kwelikweli kwa mastocking ndio mwenyewe, sijui nani alimwambia anapendeza. yeye na dada yake hawajui kuvaa hata kidogo na wapo ulaya. kazi wanayoijua wao ni kuwaloga waume zao, wale kina Fundikira. wanawaloga waume zao mpaka wamekuwa kama mataahira.

    ReplyDelete
  6. Dada Flora watakao sema birthday yako haikupendeza ni wale wale haters wako tena walalahoi wa sinza....na wanaokesha kwenye ile blog ya muke ya ...kutukana watu matusi'mfyuuuuuuuuuuu''upo juu na ulifunikaaaaaaaaaa!!

    ReplyDelete
  7. dah!! kumbe ndo maana wanakuonea wivu''yani i love your house and kila kitu af inonekana wewe ni dada mpenda watu na mwenye roho safi sana'' i wish ungekuwa muke yangu''mbuta nanga'

    ReplyDelete