KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 29 May 2013

BY: FLORA LYIMO~ HII NI KWA WALE WASANII WANAOHUSIKA APA NA NDUGU ZANGU WATANZANIA!!!

FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO"
HARD TALK. JAMANI WASANII WALIOKUWA NA SHOW ZAO WEEK HII. LADY JAY DEE .MWANA FA NA WENGINE. HONGERENI SANA KWA KUAIRISHA SHOW ZENU KWA SABABU YA KIFO CHA MSANII MWENZENU NA NDUGU YETU ALBERT MONGWEAR. Ushauri wangu kwenu ni kwamba Fanyeni show ya wasanii wote kwa pamoja .IJUMAA na viingilio vyote pesa hizo ziwe kwa ajili ya mazishi mazuri ya marehem na Familia yake. Hivyo mtakuwa mmefanya kitu cha maana sana. Na vile vile kuzipiga nyimbo zake most of the show hiyo. Na pia Clouds FM hongereni sana na endeleeni kutupeperushia nyimbo za Marehem Albert .kwani wanaosema msipige ni Walevi hawajitambui. Mbuta nanga. MSINGE PIGA WANGESEMAJE NA WASHABIKI ZAKE KWA JUMLA?. JAMANI WATANZANIA TUJIFUNZENI KUONA MAENDELEO YA WENZETU NA KUYAFURAHIA BADALA YA KUWAPOROMOSHEA. NI HAYO TU. NOW TUWAOMBEE MAREHEMU KWANI WAMETUTANGULIA TU.SAFATI NI YETU WOTE. R.I.P.

No comments:

Post a Comment