KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 30 July 2013

BY FLORA LYIMO ~ ASHA BARAKA UMEVAA NINI TOBAAAA'' FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 30/07/2013 MBUTA NANGA!!

Asha Baraka (kushoto) MKURUGENZI WA AFRICAN STARS TWANGA PEPETA'AKIFUTURU NA MBONI WA MBONI SHOW''Dada letu umetuamulia haswaa,yani umetuvalia Soksi na malapa ya kimtindo sasa ina maana huko siyo Bongo au ni wapi maana hata Ulaya kipindi hichi watu wamepandisha darini soksi zao zitashukishwa huko kwenye Mwezi wa kumi na mbiliiii''' mbuta nanga'' Kweli haiwezekani Dada umevaa hivyo kwenye Wageni tena wengine waheshima waukweli'' au ulijisahau ''Ruwa Manga'' jamani hivi ni vitu vya ku AVOID KABISAA''Yani tena katilia pozi la kufa mtu utadhani kavaa kiatu cha London '

Thanks kwa Warusha Picha na Mpiga Picha''
FLORA LYIMO >NIKIWAJIBU COMMENTS ZENU''KWA ONGEZO LA PICHA'''

 Hapa ni baadhi ya wageni wa Mboni ''ambao mkiwatizama  hapa mwaweza kuwatambua kuna Shilole ,Husna,Penny na wengine poleni sijawafaham kimajina 'Ila wote hapa mnaona walivyo vaa Kislam kwa wale mlodai kwamba Asha Baraka alivaa hivyo (Soksi ) kwa sababu ya Uislam vaaji zaidi'' Sasa mbona hawa hawajavaa Soksi na Malapa'''? au ndo hawana huo Uislam mlousema nyie Kina ANONYMOUS'' au ndo hawalisikii baridi mlolisema lipo Bongo now''Hivi nyie Anonymous ni Wadudu gani msotaka kujionyesheni Sura zenu? Mbuta Nanga"" 
Mheshimiwa wa Nguvu alikuwepo ,Mzee Ali Hassan Mwinyi ambae alishawahi kuwa Raisi wa Nchi yetu Tanzania''Hapa akiongea machache na walokuja Kufuturu''au niseme Wageni wa Mboni wa Mboni Show'  Mkitaka kuona Picha zaidi Mnawaona wenye Picha washatia Stampu yao hapo Pichani'' Watembeleeni kwa Habari na Mapicha Moto Moto'Ila Mkiungua Msijemkanilaum' Mbuta Nanga!!

8 comments:

  1. acha hizo si ungeuliza kwanza? bongo sahv kuna barid

    ReplyDelete
  2. da frola hiyo ni kiislam zaidi haijalishi baridi wala joto,muda wote unatakiwa kujistiri

    ReplyDelete
  3. kwa vile unakaa ulaya sawa,Bongo mbona kawaida sana tena mwezi huu wa ramadhani ni kawaida yeye hajavaa kama fashion amejisitiri mwili usionekane, upo hapo Mama wa mapolice co kujifanya kila kitu mnajua

    ReplyDelete
  4. Naona niwajibuni kwa ujumla....SASA NITAWAONGEZEENI PICHA ZA BAADHI YA WAJENI WA MBONI'' ALAFU MUONE WALIVYO KUWA WAMEVAA ...KAMA KUNA ALOVAA SOKSI BILA HATA MALAPA''' Pili'' Je Ikiwa ndo Waislam wanafanya hivyo mbona ni yeye peke yake?? yani hao wengine ndo hawajui uslam wao au ??'' Tatu'' MIMI NAONA KWENDA KULA HIVYO NA MISOKSI BASI WAGENI WATANUKIWA NA HILO JOTO TENA IN BONGO'?? Hatarii''I DON'T THINK IS GOOD KABISA,,BASI ANGEVUA NA SOKSI AFADHALI;'' Hata wakati Waislam wenyewe wanapo vua Viatu kwenye Misosi I THINK WANATAKIWA KUVUA NA SOKSI MAANA ZITAKUWA ZINA UNUKO USIO MZURI KWA WAKATI WA KULA'''' AVOID'''MBUTA NANGA''

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hayo ni mafundisho ya Dini haijalishi wengine wamefuata au hawajafuata.

      Delete
  5. Wewe dada sikiliza huyu mama kazingatia mafundisho ya dini yake sasa kama kuna wengine hawajafuata hiyo ni shauri yao na wala usimhukumu kwa hilo. Ni kama vile dini imekataza pombe ingawa wengine wanakunywa. Kitendo chako cha kumkosoa humtendei haki kabisa kwa kuwa naona wewe si muumini wa dini yake.

    ReplyDelete
  6. Watu hapa sijui flora lyimo aongee lugga gani muelewe maana keshaongea 3 na hamjamuelewa'''hajaongelea kuhusu vaazi la nguo''anaongelea kuhusu vaazi la viatu ''soksi na malapa,kama ambae kaamka usingizini''hata mimi ni muislam haswaa lakini sijapenda alivyovaa mijisoksi yakunukia watu wakifuturu'''Mama mzima anatakiwa kuwa muelewa zaidi tena wa MUJINI???'Majangaaaaa'mbona majangaaaaaaa'''

    ReplyDelete
  7. Jamani huku Tanzania ni kawaida yetu twavaa soksi na malapa au na sandals kwani lajima kama mtu hutaki kuvaa viatu vya kudumbukiza unavaa vya wazi na soksi unajistiri vinuke kwa sababu gani? hebu achei hizo kujifanya mnajua kumbe hamna kitu.

    ReplyDelete