KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 30 July 2013

BY FLORA LYIMO ~ VAA HIVI VIATU NA KIPOCHI AT GONGA'S BEACH WHITE PARTY IN BONGO 2013 'UZAWADIWE NA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE!!

 Your ''Flora Lyimo Fashion Police'' akiwa amewavalia baadhi ya HOT AND MUST HAVE'' LONDON HANDBAG AND SHOES 'Trade by Flora Lyimo'' WhatsApp + 44 778 7471024 ''
 Chezea Mguu wa Kichagga unaosema Mwanamke Kazi na Kujiamini''Mbuta Nanga''
 Muke ya African King'' Najiamini na Nimesimama Imara''nikipita kwenye mataa yakiwa red wanajua Pesa haijaingia Mfukoni na nilazima wao wasimame Mimi nipite na siyo kusubiria mataa kunipotezea Muda wangu''Hhhahaaaa''Hatariiiiii''Chezea Mchagga Ulaya ''akuache kwenye Mataa'' Ok 'now nipe Oda yako utakapo maliza kuzitizama picha za Album hii na kunisoma''
 Vipochi Clutch Bags yamerudi tena kwa mara nyingine na this time nimeyadaka ya kutosha ''tena in rangi mbili now'' ni wewe uchague kwa pesa zako and yanapatikana in Tanzania now ' Kwa wanaouza Flora Lyimo Design's & Trade's''
 AVAILABLE IN TWO RANGI NOW' KAMA MNAVYO YAONA HAPA''
 HAPA UNAMECHISHA KWA BLACK AND WHITE SHOES''MADONNA SHOES '' AND YES' UKITAKA WASIMAME WOTE WAKUPISHE UPITE KWENYE GONGA'S BEACH WHITE PARTY'' VALIA HIVI''TAFUTA KIGAUNI CHAKO AU KIKAPTULA AU KIMINI CHEUPE ''' HAKI YA NANI  HATA Flora Lyimo Fashion Police 'I ' will give you The Award'''Mbuta Nanga''UTAKUWA UMEKANYAGA WOTE''





Habari ndo hiyoo..THE TALK OF MUJI MKUU LONDON ''' CHEZEA ULAYA UACHWE KWENYE MATAA'''RUWA MANGI''FLORA LYIMO HANA MUDA WAKUSUBIRIA MATAA YA BADILISHE RANGI KABISAAA'''
 Pateni vitu vya uhakika kutoka London na vilivyo kaguliwa kwanza na your ''Flora Lyimo Fashion Police'' Ili muuziwe kwa bei powa na  vyenyewe vipo kwa hali ya kurdhisha''
Rangi zingine pia zipo ukitaka kuziona tembelea our Mkopo Express Page in Facebook au tizama hapa hapa kwenye hii Blog kwenye habari zilizopita'
  1. Photo: Gonga's WHITE "Beach' PARTY SAT 17.08.2013 From 1300Hrs... Stay UP.. LEDGER PLAZA BAHARI BEACH
    Habari ndo hiyooo''I CANT WAIT'''PARTY HAPPY PEOPLE''

No comments:

Post a Comment