KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 31 December 2013

FLORA LYIMO FASHION POLICE 'BEST TANZANIAN FEMALE EVEN'S ORGANIZER AWARDS 2013 'THIS TIME IS FOR WAFUATAO''NIKIANZA NA DIDA FACION TURABI''AISEE WATU IN LONDON TULI ENJOY CHRISTMAS EVE 2013 KWA AJILI YA HER SUPERB HARD WORK!!

 DIDA OF DIDAS ENTERTAINMENT LOOKING FAB JUZI AT SHOW ALOIFANYA YEYE PAMOJA NA ANAO WAJUA YEYE MWENYEWE KUFANA KULIKONI ''SHOW YA SHILOLE & AT'' ON CHRISTMAS EVE IN LONDON ''
THIS IS WHAT SHE HAVE TO SAY 'MSOME KWA MAKINI "
Didas Entertainment inapenda kutoa shukran kubwa kwa support zenu kuanzia show ya kwanza London hadi ya mwisho Milton Keynes. Kuna wale walio kuwa nasi kuanzia show ya London hadi Milton Keynes, Allah bariq. Najituma kwa nguvu zangu ili nile jasho langu na juhudi zangu wote mmeziona na nashukuru mmeniunga mkono na asante sana kwa msg zenu za kunipa hongera. Stay tune for 2014 inshallah will be more. Valentine special coming on the 15/02/2014. Tegemeeni makubwa zaidi. Be blessed you all.




KAMA MWAONA PICHANI KWA WALE MSOWAFAHAM '' DA DIDA NDIYO MWENYE BLUE DRESS NA STAR WA MAUNO BIALA  MIFUPA MWENYEWE NDIYO HUYOO MWENYE BLACK SHILOLE''
KUSEMA KWELI SHOW YA KWANZA LONDON WAS FAB''ATAKAE SEMA HAKUHAVE GOOD TIME AND SHOW ILIKUWA MBAYA AU HILI NA LILE BASI ANASABABU ZAKE BINAFSI '' KWANI PICHA NA VIDEO VINASEMA YOTE'' AND YES YOUR MSEMA KWELI FLORA LYIMO FASHION POLICE WAS THERE AND ALIANZIA FROM HER HOME KUMPIKIA SHILOLE DINNER PAMOJA NA MARAFIKI WAKIWEPO PIA WAGENI WENGINE WALIOKUWA WANAKWENDA KWENYE SHOW'' NA HADI KWENYE SHUGHULI ZENYEWE'' WE HAD A FAB NIGHT KWA KWELI ''KWANI MPANGO MZIMA NI KUJIPANGA TU'' NA KAMA MNAVYOMSOMA DA DIDA KESHAWAAMBIENI MKAE MKAO WAKUMWAGA RADHI TENA SOON ''KUNA MAMBO MENGINE MATAM ZAIDI TO COME FROM ILE SIKU YETU YA WAPENDANAO '' SO JIWEKE TIYARI NA KAGAUNI CHAKE CHEKUNDU LADIES !! NA HIYO NDIYO HABARI YA MUJINI ''
                                        ''FROM DIDA''
  • Didas Facion Turabi likes this.
  • Didas Facion Turabi Asante sana mpenzi, award yako nimeipokea kwa mikono miwili, nashukuru sana. Mungu atupe baraka tuzidi kufanya mengi mazuri. Thanks for appreciating my work and my effort. Be blessed my dear.

No comments:

Post a Comment