KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 28 February 2014

BY FLORA LYIMO ~ DA'MBONI OF THE MBONI SHOW ALIPOTEMBELEA DUKA LA FLORA LYIMO NDANI YA LONDON OXFORD STREET'

 Hapa katuvalia kiatu chauzwa hicho bei only £60 And Handknit Handbag only £25 by: Flora Lyimo Designs& Trades


 Mastaa wakikutana hamtalala kabisaaaaa'mbuta nanga' Da' Mboni Mwasimba (kushoto) na Da' Flora Lyimo wakihakikisha macho yenu yanaona hivyo viatu''Mmeviona eeee ''yani vyote vyapatikana tuseme yategemea na size ya Mguu wako '' now only have size 39 left'' but More Hot shoes like this to come soon 'whatsapp +44 7787471024 for anything cha mitoko au maharusini magauni's''
 Da'Mboni akijitafutia Kiatu chake ,I can tell you  She is Hot in Style (Kimavaazi zaidi yani Humuwezi kabisa mambo yake kama ya your Flora Lyimo Fashion Police''Mbuta Nanga!!
 Ona Kiatu alichojichagulia 'chezea the Hot Star weweeeeeeeee''akuwache kuleeeee''


 Now yupo tiyari for Interview ,Huku akihakikisha mtatizama kiatu chake 'wapi Flora Lyimo Fashion Police aka Kiboko yao '' Mbuta Nanga"

Mwamuona Shingini 'Mwaona vile hiyo (Cheni )Pearl Necklace ilivojaa vizuri shingoni yani hiyo yote ni Moja na bei Only £15'huwezi pata mahali pengine kwa hiyo bei hapa London Oxford Street '' Only at
Flora Lyimo Designs&Trades'
 Here She is'' the one and Only Mtanzania Mwenye Duka mtaa wa Mahela''London Oxford Street ' Flora Lyimo of Moshi Kilimanjaro'' Didi I say Mchagga' Ok Yah thats where Wachagga wanakoutingisha Mlima Kilimanjaro 'Mbuta Nanga'' Ndiyo Nyumbani kwangu Ulaya nasaka Mimanoti tu''
 THE HOT TANZANIAN SUPER STAR'S 'HAPO KWENUUUUUU''MTAJAZIA MPENDAVYO FLORA LYIMO KESHAWAJAZIA'' AND THAT IS THE TALK OF MUJINI''

 AND THE BUSUUU KWA ALL OUR FANS''TUNAWAPENDAJE SASA''MWAAAHHH''
 THE SUPER PRETTY OF TANZANIA'' WE ARE STARS AND WE KNOWS IT''
 DA' MBONI OF THE MBONI SHOW'' HAPA ANAWAONYESHA KAJAKETI ALICHOVAA KIMASAI ZAIDI DESIGNS BY :FLORA LYIMO NA BILA KUSAHAU THE HEDBAND'' YOTE NI KAZI ZA MIKONO YA MCHAGGA -ULAYA''


HABARI YA MUJINI NDIYO HIYOOO'''MORE PHOTOS TO COME''WITH THE FULL INTERVIEW' BY:THE MBONI SHOW''ALSO NDANI YA DIDAS ENTERTAINMENT TV' BILA KUSAHAU HAPA HAPA AT FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

2 comments:

  1. Dada Flora Lyimo upo juu kama Obama'' yani kweli wewe ni mwanamke wa shoka haswaa 'Mungu azidi kukulinda na akuepushe na maheters '

    ReplyDelete
  2. nimelipenda sana duka lako Flora Lyimo I wish ningekuwa Da'Mboni hapo pasingebakia kiatu ,mimi ugonjwa wangu ni viatu 'hebu mpe hata kimoja aniletee ndao 'mbuta nanga

    ReplyDelete