KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 23 May 2015

WHATS NOW ? BREAKING NEWS'' FLORA LYIMO MBUTA NANGA NA LINDA BEZUIDENHOUT ARE OFFICIAL KIBOKO YAKE MANGE aka KUMAKUMAMBI'' LEO KASARENDA YANI KAJITANGAZA KUTUKOMA .CHEZEA MBUTA NANGA ''AKUWACHE UKIFAGIA BAHARI ''


FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Ndugu zangu Watanzania wenzangu natumaini hamjambo popote pale mlipo '' Mimi leo nina furaha sana na bado nitazidi kuwa na Furaha zaidi pale ambapo Mange kumakumambi atakapo hukumiwa kwa anayo yafanya kuidalilisha Nchi yangu ,Viongozi wangu ,Rais wangu na Watanzania wengi sana ambao wengi wao anawatukana ovyo just kwa sababu wanacho kile ambacho yeye mwenyewe hawezi kuvipata au alikuwa nacho na sasa hanacho tena'' 
BASI LEO KAJITANGAZA RASMI KWENYE KILE KIBLOGU NUKA CHAKE KWAMBA FLORA LYIMO NA LINDA 'AMETUSHINDWA NA ISOTOSHE KAJITETEA KAMA KAWAIDA YAKE'' Kwa sababu nilimuagiza vitu kupitia Instagram  peji yangu avionyeshe,NA AKASHINDWA KUVIONYESHA'',vitu hivyo vikiwa ni NYUMBA ANAYO ISHI ,VYOMBA ANAVYOTUMIA VIKIWEPO HADI MASHUKA LOGO ZAKE TUNATAKA KUZIONA NA PIA VYOOMBO VYOTE'' Baada ya yeye kudai kwamba eti anakoishi anaweza kunilipia mimi napoishi na vijisenti vibaki'' hhahaha'' sikashindwa kuvionyesha pamoja na banck account anionyeshe pesa zilizoingia japo kwa mwezi na siyo week na ziwe ni za kwake na siyo za kupewa na hao baba watoto wake '',na hata mimi nitamuonyesha vya kwangu vyote ,vyote'' tena ni kwa jasho langu na siyo la wazazi wangu wala waume zangu au baba watoto nk,lafu tuone ni nani wakujigamba'' nyoko nyoko zake ameachwa vibaya na mzungu hana lolote 'kilichobakia ni kukesha mitandaoni kushafua nchi yangu na watanzania wenzangu' 
SASA NAMUAMBIA HIVI NAOMBA ANIONYESHE USHAIDI WA PESA ANAZOLIPWA KWA AJILI YA KUPOST UJINGA WAKE KWENYE KIBLOGU NUKA CHAKE'' si apo chini ukisoma hiyo post yake kasema analipwa kufungua domo lake'' sasa atuonyeshe anavyo lipwa '' MENDE LA CHOONI LINALOJITANUA TANUA OVYO ''
UTUKOMEEE YANI SUBUTU KUTUPOST TENA UTAJUTAAAAAAAAAAAA''MBUTA NANGA'' CHEZEA NA DANGANYA WASOKUWA MABLOGA LAKINI BLOGGER KAMA MIMI APA HATUDANGANYIKI NG'O'''NOW 'Hebu tiririka nalo '' yani HIVI KUNA MTU ANAWEZA KUJIFOSI KUANIKWA KWENYE KIBLOGU NUKA CHAKE? LABDA MAMA YAKE Alie panda mabasi  ALOMZAA NA BABA MWENYE NYUMBA'' Yani Mange heshim sana mabasi alayo panda Flora Lyimo Mbuta Nanga' Yani jamani ni hivi '' Mama yake mzazi alikuwa mfanyakazi wa nyumbani yani alikuwa akimfanyia kazi za nyumbani baba yake Mange kabla ya Mama yake kuchepuka na Mwenye Nyumba'' Tajiri yake'' yani  jua huna lolote la kuniambia wewe mange ukome kabisa'' Eti nitakufa nikipanda mabasi bila kujua kuendesha magari ''kama magari yalikuwa Dili mama yako angekuwa nayo na asingekuwa yaya kama unavyo mfanya mwanao Bhoke ''UPO HAPO '' Na kama hujui Mabasi sasa hivi ni dili na nipo mbioni kuwa na mabasi yangu huko bongo ukiona mabasi yaloandikwa MBUTA NANGA'' jua nimo ndani najitengenezea mimashilingi yasiyo hesabika'' hahhahaa''' HESHIM MABASI ALOPANDA MAMA YAKO KUMPATA MWENYE NYUMBA AKAKUZAA KWA MCHEPUKO ..JUST LIKE YOURSELF'' NGACHOKA'' 
KWANINI WASIOKUWA  ” LEVELS BABY LEVELS ” WANAFORCE KUPOSTIWA KWENYE BLOG YA LEVELS??? 
PS: Baboon la kichaga na huyo shangingi asie na bahati hapa duniani maana maneno mengi miaka 50 muulize ana achievement gani dunia hii….At 50 yrs competition yake ni kina Mange hahahahhaha, so sad…. Huyo sokwe mtu taahira  simuweziiii anani cyberbully tu ….hahaah… Baboon kiboko yake waingereza tu, full kumpandisha mabasi mpaka siku anakufa,they treat her like the nyani that she  is… Hahaha, eti hawataki mataahira kwenye bara bara zao,wazungu jamani…Kwani uchizi wake hautibiki eti???Baboon ujanja wake ni insta tu , kiboko yake mzungu bwana, mpe funguo za gari mwambie endesha mpaka pale tu,hahahaha anajua atakavyobebwa juu juu kupelekwa asylum ya vichaaa….hahaha..haruhusiwi kushika chombo cha moto mpaka anazikwa..chezea mzungu anavyojua kunyanyapaa sokwe mtu mwenye utaahira juu….
Ndo hivyo msione siwataji humu mkadhani nawaogopa nope, ni vile hamna hadhi ya kuongelewa humu, nani anataka kuongelea nyani linalocheza uchi insta, au bibi la miaka 50 linalohisi bado liko 10yrs old. Humu hatudiscuss maskini au choka mbaya humu tunadiscus watu wa levels tu kama Huddah au Zari.Tukaneni mpaka mchoke, mie mwenzenu magazeti ndo kwanzaa naandika maana nalipwa kwa kuandika hayo magazeti,yani in short nalipwa kupanua domo langu nikuuzi sio nyie mnaopoteza time online for nothing,wenzenu hii ni ajira mnafanya kutugeza,,,hhahhah..hasiraaa eeeh??hahha … Sasa siku na nyie mkiwa levels kama kina Huddah ntawaleta humu ila for now level yenu ni huko kwenye page za manyani……hahahhahha….Hata mtukane mpaka mdate siwaletiiiiiiii ng’ooo, maana huwa sipendi kutukana watu choka mbaya mie nataka wa levels tuuu…hahhahaa….
OKAY BYEEEEE
Mtajijua nawajazia mahabari yooote kwenye posti moja maana namie naanza kula weekend…
Hii ni entertain ya kutosha kwa weekend nzima jamani….hahaaaa
si update blog mpaka Mondayyyyyyyyyyyyy , nsije achika sasa mwanamke wiki nzima nimekalia umbea tu ' 
MBUTA NANGA'' say.. Sasa mnaona hapa eti anamcheka mwenzake kwa kuiba picha za kujigamba Instagram,, HIVI MANGE UMESAHAU WEWE ULIVYO IBA ZILE WIGS  ZA WATU ? Yani kweli wewe siyo wakupewa pole ni WAKUCHEKWAAA' Si ni bora mdada wa watu yeye ni picha za kuringishia watu tu ''sasa wewe uloiba wigs na kuwatapeli watanzania wenzako tena unawaita mawaziri eti ''hahahaa'''
HEBU MSOMENI APO CHINI''
Instagram inaharibu watu jamani…kha! yani kila mtu anataka ajionyeshe huko insta kuwa yeye ana maisha mazuri….hahaha
Uwiii nahisi mie ndo nimechelewa maana Africa nzima wamesharepoti hii habari..uwiiii blog za kinigeria ndo wamemaliza mchezo wooote .
Wanaigeria wamemsema Huddah jamani…
Hivi huyu nae ni nini?kha? kwenda kuiba mipicha ya watu kujifanya eti ana hang out na matajiri wa Nigeria…hahahhahaha…Uwiiiii… 
MBUTA NANGA ..Say .Alafu lilivyo lizembe eti sasa hivi linawaita Huddah na Zari ni high levels'' Sijuzi juzi umesema kwamba wanaishi maisha fake ? hahahhaaa' CHEZEA MBUTA NANGA '' yani lazima UTUKOME KABISA'''
AIBUUUUUUUU…..Uwiii alimsemaga Wema eti anakunywa cheap champagne  ndo maana yeye kaweka hizi expensive,,hhahahhaha…

kha! ngoja weekend nipetipeti mume sasa….ahhahahahahhahah

No comments:

Post a Comment