KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 29 June 2015

KWANINI IWE NI WABUNGE KUTOKA CHADEMA NDIYO 'WABAKAJI NA WANYANYASAJI WA WANAWAKE HADI KUPOKONYA WANAWAKE WATOTO ? MBUTA NANGA!


NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU 'IKIWA LEO NI TAREHE 29/6/2015 NIME REVIEW POSTI HII'' KWA KUENDANA NA MALALAMIKO YA NDUGU YETU FAIZA ALIVYO LALAMIKA KUPOKONYWA MTOTO WAKE NA MBUNGE TENA MBUNGE (CHADEMA)' KWANZA POLE SANA FAIZA'' MUNGU YUPO NA HATA MIMI NIPO NA WEWE MPAKA MWISHO NA IWE MWISHO SASA WA SISI WANAWAKE KUNYANYASWA NA HADI KUBAKWA KWA HAWA VIONGOZI WETU WANAOTUMIA NGUVU ZAO KWA SABABU YA CHEO WALICHONACHO NCHINI''
Sasa Basi ' Naomba kuwauliza ,Ikiwa Faiza kapokonywa mtoto wake kwa sababu alivaa nguo yake ambayo nyie baadhi yenu na vile vile Baba Mtoto wake kaona siyo ya kimaadili na hivyo basi adhabu yake ni KUMPOKONYA MTOTO WAKE'' Naomba mniambie je ni kwanini Watalii (WAZUNGU ) Wanaruhusiwa kukaa Uchi au niseme na vijichupi vyao wakiota jua na watoto wao na wasipokonywe na vile vile Mahakama ya Tanzania kutoa sheria WASIWE WANAVAA VIJICHUPI NCHINI TANZANIA ? NA HASA WAKIWA NA WATOTO WAO ? Hilo sioni mkilichukulia kimaadili na kuwatukana wazungu hao na hizo broken English mnazozitumia kutukana (Sisi ) WATANZANIA WENZENU ''KISA NI NGUO FUPI NA KUDAI WATU WAPO UCHI HADI KUPOKONYWA WATOTO''
Pili Flora Lyimo (Mimi ) Hapa huwa naposti picha zangu na Chupi nazoziuza mitandaoni au hata picha zangu mimi za Kushikilia Maziwa (matiti) na siyo kwamba hata ni za uchi yani hata siyo za uchi kabisa lakini Mlinitukana matusi yote na kudai kwamba ilikuwa ni vyema kabisa kwa Mbunge yule kunibaka kwa sababu nilikuwa Uchi au sijui huwa ninapigaga picha za uchi na matusi mengi mno ambayo yote uki ya googo utayapata '' Hivi kuna sheria inayosema Mtukikosea ABAKWE? Na ikiwa huyu Godbless Lema anadai nilitumwa na Watu wa Chadema kwenda kwenye Mkutano wake ,kwa hiyo nyie mnaona ADHABU YAKE NI ANIBAKE SIYO ? Jamani kuweni BINADAM NA MSIWE WANYAMA'' Mimi sitochoka kupigania haki itendeke hadi nife na nirudi tena hapa Duniani bado nitakuwa nadai haki yangu ''all I want is Justice''
Lingine ni Mheshimiwa Spika Anne Makinda..Hivi ni kwanini yeye hajamuita Mbunge Godbless Lema Bungeni nae Ajielezee 'kuhusu yeye kusema Flora Lyimo alitumwa na watu wa CCM ? Mbona hii ya Faiza Wabunge wameliongelea Bungeni ? Jamani ni hayo tu ''Mimi nalia kwa Uchungu 'NAUMWA MNO '' NYIE ENDELEENI KUNITUKANA NA KUTUTUKANA ILA MUNGU YUPO NA HAKI LAZIMA ITENDEKE''
SOMA ZAIDI AT INSTAGRAM Follow mbuta nangablog

No comments:

Post a Comment